Zaidi ya familia 600 zitanufaika na mradi wa umeme Busia, utapiga jeki hatua za maendeleo kitaifa



Zaidi ya familia mia sita katika Kaunti ya Busia zinatarajiwa kunufaika na mradi wa usambazaji umeme.

Mradi huu ambao ni wa ushirikiano kati ya serikali ya Kaunti ya Busia na Shirika la Kusambaza Umeme Mashinani (REREC) utagharimu shilini milioni sabini na tano huku Kaunti ya Busia ikitarajiwa kuchangia zaidi ya shilingi milioni arobaini.

#TV47Matukio
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from ‘Home of The Untold Stories.’

*About TV47*
‘TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES.
__
For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047.
__

Connect with us:

Website: https://www.tv47.digital/
Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE
Twitter: https://twitter.com/tv47news
Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/
TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke
Telegram: https://t.me/tv47_ke
WhatsApp: 0797 047 047
__

Trending Now


Many families in Nairobi County are increasingly embracing permanent family planning methods as…


Subscribe to Our Newsletter

*we hate spam as much as you do

More From Author


Related Posts

See all >>

Latest Posts

See all >>